swc_mat_text_reg/21/35.txt

1 line
381 B
Plaintext

\v 35 Basi ba tunza bakulima mashamba zabibu baka funga batumishi, na kuba pika moya na ku ua mwengine mu moya na kupika mwengine moya majiwe. \v 36 Mwenye kiwanja a ka tuma tena bengine ba tumishi ba mingi kubita bale bakwa nza, lakini ba tunza za bibubaka bapika tu sa bale bengine. \v 37 Kisha ile, mwenye kiwanja aka ba tumiya mtoto wake na kusema "bata heshimiya mtoto yangu".