swc_mat_text_reg/21/28.txt

1 line
390 B
Plaintext

\v 28 Lakini muna waza nini ? mutu moya ali kwa na batoto bawili ba naume : « akaenda kwa mtoto wa kwanza» na ka mwambiya: « mtoto, wende kutumika mu shamba ya mizabibu lewo. \v 29 Mtoto aka mujibiya ana sema: "sita ifanya" kisha, aka badilisha mawazo na akaenda". \v 30 Na mwanaume akaenda tena ku mttoto wa pili na kasema ile kifu kimoya kile mtoto aka sema naendanbwana lakini akwena.