swc_mat_text_reg/21/23.txt

1 line
354 B
Plaintext

\v 23 Wakati Yesu alingiya dani ya kanisa, mukubwa wa ba kihani na bazee ba ma taifa bali kuya kwake wakati ali kwa nafundisha na kusema: « kwa uwezo gani una fanya iyi mambo na nani an kupatiya ile uwezo?» \v 24 Yesu akaba dibiya: « nda bauliza nua li moya. Kama muna nyambiya, nda ba mbiya kwa uwezo gani minafanya kwa uwezo gani minafanya iyi bitu.