swc_mat_text_reg/21/20.txt

1 line
404 B
Plaintext

\v 20 Wakati bana funzi bali ona ile, bakaifuraiya na ku sema: « Ina kua aye muti ina kauka mara moya?» \v 21 Yesu aka baji biya: « Kwa ukweli, na ba mbiya, kama muko na imani na amuko naa pinga, amuta fanya tu yenye minafanya ku ili muti lakini mutafayna ya mingi (zaidi) na muta mbiya kilima toka pale na uji tupe ku mayi na ile itafaniwa. \v 22 Yote yenye muta omba ku maombi muitike, muta pata. »