swc_mat_text_reg/21/01.txt

1 line
475 B
Plaintext

\c 21 \v 1 Gisi Yesu na bana funzi yake bali zogeya ku Yerusalemu na ba kaenda ku migini ya Betifage, \v 2 kisha ku mulima wa Mizeituni. Kisha, Yesu aka tuma bana funzi ya ba wili na ku bambiya : « mwende ku mingini ya karibu, na mu ta ona limoya punda ba na mufunga pale, na mutoto wa punda nafungi wa pamoya, mu ba fungule na mu ni leteye a bo. \v 3 Kama mutu an kwambi kitu dju ya bo, mu mwambiye: " Bwana iko wayo lazima, na ule mutu ata ba atcha mara moya mwende nayo."