swc_mat_text_reg/20/22.txt

1 line
422 B
Plaintext

\v 22 Lakini Yesu aka jibu na kusema, "Haujui ile unaomba. Na unaweza kukunywa kikombe ambao nitakunywa?" Baka mwambia, tunaweza". \v 23 Aka baambia, "Kikombe yangu kweli mutaikunywa, lakini kuikaa mukonao tangu wa kulia na mukono yangu wa kushoto, si ukumu yangu kuba pa. Lakini ni kwa bale ambao bali tayarishwa na baba yangu. \v 24 Wakati ban funzi bengine kumi balisikia hivi bakahuzunika sana na bale bandugu bawili.