1 line
331 B
Plaintext
1 line
331 B
Plaintext
\v 8 Kufika mangarimbi, mwenye shamba ya vinyo aliambia musimamizi yake, "aite bafanyakazi na kubalipa malipo yao kwa mwisho na wa kwanza." \v 9 Wakati bali kuya bale wa saa kumi na moya, kila yao alipokeadenari moya. \v 10 Balikuya bafanyakazi wa kwanza, walizania kama batapokea mingi. Lakini balipokea pia dinari moya kila mutu. |