swc_mat_text_reg/20/05.txt

1 line
366 B
Plaintext

\v 5 Aka toka tena na saa sita na tena saa kenda, na alifanya namuna moya. \v 6 Mara ingine tena katika saa kumi na moya, alienda kukutana na batu bengine bana shimama bila kazi ali wahuliza: Ni juu ya nini munashimama hapa bila kazi kwa siku mzima? \v 7 Baka mwmbia, ni kwasababu, hakuna mutu na kutupatia kazi. akabaambia, na nyi pia muende katika shamba ya vinyo.