swc_mat_text_reg/20/03.txt

1 line
237 B
Plaintext

\v 3 Alienda tena katika saa tatu hivi na aliona bafanyakazi wengine balikuwa na simama sehemu ya soko bila kazi. \v 4 Aka baambia, na nyiye pia, muende katika shamba ya vinyo, na ile yote ya muzuri nitapatia. Hivi bakaenda kufanya kazi.