swc_mat_text_reg/19/20.txt

1 line
389 B
Plaintext

\v 20 Yule mutu aka mwambia: "mambo ya yote nimeyatii. Inanibakilia tena nini?" \v 21 Yesu akamwambia, "kama unapenda ukuwe mukamilifu, wende uuzishe bitu yako yote, upatie bamasikini, na utakuwa na hazani mbinguni, na utakuwa na hazani mbinguni. Kisha kuya unifuate". \v 22 Lakini wakati yule kijana alisikia ile enye Yesu alimwambia, akatoka kwa huzuni, kwa sababu alikuwa na mali mingi.