swc_mat_text_reg/19/07.txt

1 line
400 B
Plaintext

\v 7 Bakamwambia: " ju ya nini basi Musa alituamuru (alituruhusu) kutosha barua ya kuwa bunyumba na kumufukusa"?. \v 8 Akabambia, kwa ugumu wenu wa roho, Musa aliba ruhusu kubapa ba bibi wenu barua ya kuvunya bunyumba, lakini ku mwanzo, haikukuwa vile". \v 9 Na bambia: "kama mutu yote ataacha na bibi yake kama haiko ju ya uzini, na anaoa mwingini, amezani. Bwana mwenye atamoa wa bibi uyu amezani".