swc_mat_text_reg/19/01.txt

1 line
164 B
Plaintext

\c 19 \v 1 Wakati Yesu alimaliza kusema maneno ile, akatoka Galilaya, na akaenda Yudea kupita mutoni ya Jordani. \v 2 Kikundi ya batu balimufuata na anaba ponyesha.