swc_mat_text_reg/18/30.txt

1 line
266 B
Plaintext

\v 30 Lakini mtu mishi wa kwanza alikatala, na ali mutia mu gereza, mu paka siku ata lipa ka deni yake. \v 31 Na wakati benzeke ba mukazi batu mishi baliona yenye ilipitikana, bali sikiya mubaya sana mu ma roho, na bali kuya na baka ba mbiya mfalme yote ilipitikana.