swc_mat_text_reg/18/23.txt

1 line
371 B
Plaintext

\v 23 Kisha, ufalme wa mbinguni iko ka ma mfalme moya alipenda ku juwa vile batu mishi bake biko na tu mika. \v 24 Wakati alianza e sabiya bake mu leteya mtumishi moya mwenye alikuwa na nulomba talata elfu kumi. \v 25 Lakini vile vile akukuwa na kitu ya ku lipa, mfalme alisema ba muwujishe pamoya na bibi yake, pia na batoto yake na bitu yote alikuwa nayo ju alipe deni