swc_mat_text_reg/18/18.txt

1 line
403 B
Plaintext

\v 18 Kwa ukweli, na bambiya, ile yote mu ta funga a pa mu duniya na kule mbinguni ita fungiya na ile yote muta fungula apa muduniya nakule mbunguni ita fungiliwa. \v 19 Tena na bambiya, ka ma batu mbili ba na kubaliyana apa mu duniya ju ya kitu moja na kuilo mba, na bata ipata kwa baba yangu iko mbinguni. \v 20 Kwa sababu kwenye batu mbili ao tatu bana ku sanya kwa jina la ngu, niko kati kati ya bo.