swc_mat_text_reg/18/12.txt

1 line
398 B
Plaintext

\v 12 Mu na waza nini? Kama mtu eko na ko ndoo niya moya kisha moya ina poteya, a ye awazi acha makunitisa na tisa bingine yulu ya mulima fu ya kwenda tafutana na ile ina peya? \v 13 Na kama nayipata, kwa kueli na ba mbiya, ata furahi tena sana ju ya ile kuliko makumitisa na tila yenye ayiku poteya. \v 14 Na ivi, ayiko mapenzi ya Mungu baba yenu mwenyu iko mbinguni ju moya kubatoto yeke apoteya.