swc_mat_text_reg/18/01.txt

1 line
328 B
Plaintext

\c 18 \v 1 na mu yile wa kati tu, bana funzi balikuya kwa Yesu na baka sema "Nani iko mukubwa zayidi kwa ufalme wa Mungu?". \v 2 Yesu alihita mbele ya bo mtoto mudogo na aka musi ma misha kati kati yabo. \v 3 Na aka sema, kwa ukweli na bambiya kama amu badilike, na kukuwa kana batoto badogo, amuta ingia kwa ufalme wa mbinguni.