swc_mat_text_reg/17/24.txt

1 line
394 B
Plaintext

\v 24 Wakati balifika Kapenaumu, batu benye bana lipishaka kodiya ya nusu shekeli dju ya kanisa, baka enda kwa Petro na kusema: "Je mwalimu wenu ana katala ku lipa kodi nusushekeli?". \v 25 Akasema: "diyo" wa kati Petro ali ingiya ku nyumba. Yesu amlisema wa kwanza na Petro akasema ivi: "nini una waza Simona, mufalme wa dunia, kwa na ni una pataka kodi ao ushuru? Kwa bo peke wala ku begeni?"