|
\v 9 Wakati bali kwa na chuka ku kilima, Yesu aka bambiya kusema: " Musiseme iyi abariata kua mutu moya mpaka siku mutoto wa mutu ata fufuka ku bafwa". \v 10 Bana funguzi yake baka muliza bana sma: "dju nini bahandishi bana sema Elia ata kuya wa kwanza?. |