swc_mat_text_reg/16/19.txt

1 line
194 B
Plaintext

\v 19 Nitakupatia fungola za mufalme wa mbingu yote utakapo ifunga hapa duniani kitafunguliwa mbinguni. \v 20 Kiisha Yesu akawapatia wanafunzi oda hii: wasiseme na mtu yeyote kama jeye ni Kristo