swc_mat_text_reg/16/05.txt

1 line
348 B
Plaintext

\v 5 Wanafunzi wakamba ngambo ya pili, lakini walisahau kukamata mikate. \v 6 Yesu akawaambia " angalisho na vinyo na shachu ya wafalisayo na wasadukayo". \v 7 Wanafunzi wakaanza, kuwaza wenyewe: " Ni sababu hatukeleta mikate". \v 8 Yesu alijiwa maneno wanafunzi walikuwa wakiwaza , akasema "niye wenye amani kidogo, kwa nini juu hamukubela mikate?