swc_mat_text_reg/15/15.txt

1 line
261 B
Plaintext

\v 15 15 Halafu Petro akamwambia: “Utuelezee maana ya mufano huu.” \v 16 Yesu akamujibu: “Hata ninyi vilevile hamuwezi kuelewa? \v 17 Hamuelewi kwamba kila kitu kinachoingia ndani ya kinywa, kinapita ndani ya tumbo na kisha kinatoka na kwenda katika choo?