swc_mat_text_reg/15/07.txt

1 line
260 B
Plaintext

\v 7 Ninyi wanafiki! Isaya alitabiri vema juu yenu, wakati aliposema maneno haya: \v 8 “Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao. Lakini mioyo yao ni mbali nami. \v 9 Ibada wanayonifanyia ni ya bure, sababu mafundisho yao yanalingana na kanuni za watu tu.”»