swc_mat_text_reg/15/04.txt

1 line
403 B
Plaintext

\v 4 Kwa maana Mungu alisema: Uwaheshimu baba yako na mama yako.” Naye alisema vilevile: “Anayelaani baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.” \v 5 Lakini ninyi munasema kwamba mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia baba yake au mama yake, lakini akimwambia kwamba amekitoa sadaka kwa Mungu, \v 6 basi, hapaswi tena kumusaidia baba yake. Hivi munazarau Neno la Mungu kwa kufuata desturi zenu