swc_mat_text_reg/14/34.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 34 Wakati balienda ku vuka ku ngambo ya mayi, baka sima ma ku Genesareti. \v 35 Wakati batu ba ile fasi ba ka mu yuwa Yesu, baka tu mana mi dju mbe fasi yote ku migini ya pembeni, pembeni « kando, kando», na ba ka mu leteya wote mwenye ali kua na ma godjua. \v 36 Baka mu bembeleza dju baguse maguo yake ma bote menye bali mugusa bali pona.