swc_mat_text_reg/14/31.txt

1 line
344 B
Plaintext

\v 31 Kwa mbiyo Yesu aka nyorisha mukono yake na kumu bamba kumu kamata Petro, na aka sema: « Mutu wa imani kidogo, dju ya nini ukona pinga? » \v 32 Na wa kati Yesu na Petro bali banda ku mutumbu, mu pepe yo ika si ma ma. \v 33 Kisha banafunzi benye bali kwa ndani ya mutumbu baka muabudu Yesu na kusema: «Kwa ukweli; uko mtoto wa Mungu ! »