swc_mat_text_reg/14/19.txt

1 line
391 B
Plaintext

\v 19 Yesu aka mbiya ki kundi bai kale ku mayani. Aka beba mikate tano na samaki mbili. Aka ngalia ku mbingu ni, aka bariki mikate na kui kata na ku patiya banafunzi ya ke, ba ka gabuliya ki kundi. \v 20 Ba ka kula bote na kishiba. Kisha baka beba mikate yenye ili ba kiya, bitunga kumi na mbili ya ku yala. \v 21 Benye balikula bali kwa karibu batu milioni tano, kutosha banamke na manaume.