swc_mat_text_reg/14/16.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 16 Lakini Yesu aka ba mbiya: «Abana hamu ya kuenda. Mu bapatiye mweye peke kitu ya ku kula. » \v 17 Ba ka muambiya: « Tu ko apa tu na mikate tano na samaki mbili. » \v 18 Yesu aka sema :« Muni leteya ayo. »