swc_mat_text_reg/14/08.txt

1 line
288 B
Plaintext

\v 8 Baada ya kupata shauri kwa ma ma yoke, akasema: « uipatiye miye apa, dani ya sahani kitshwa ya Yoane mu batizaji.» \v 9 Mufalme aka tshangani kwa dju ya kulamba ya binti, lakini dju ya ku lapa ya ke, na dju ya bote benye bali kwa na ku tchakula ya mu tchana, aka rusu ile ifanyike.