swc_mat_text_reg/14/03.txt

1 line
317 B
Plaintext

\v 3 Kwa kuwa, Herode ali mufunga yohane na ku mutu ma ku gerza kwa dju ya Herodia, bibi wa ndugu ya Filipo. \v 4 Dju yohane ali mwambiya: « ai kurusi wa ku sheriya ku beba uyu mwana muke kama bibi yake. » \v 5 Herode alipenda ku muwa, lakini ali kua na ogopa batu, kwa sababu bali muona yohani ka ma vile mu nabii.