swc_mat_text_reg/13/49.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 49 Njo vile itakuya siku ya mwishe. Na ba malaika batakuya pale Mungu ata hukunu batu na kuba ka bula na benye kuya na uwaki. \v 50 Na bata bata tupa uki jibo ya moto ya nguvu, mule mutakuya kuria na kusaga meno.