swc_mat_text_reg/13/40.txt

1 line
399 B
Plaintext

\v 40 Na mo jani mubaya batayi funga fazi moja na kuyi choma, ita kuya mwisho wa dunia. \v 41 Na mutoto wa mutu ata tu ma wa malaika, kwa kumata ufalme yake kwa maneno yote ya zambi, na bale benye kutenda ma kosa. \v 42 Na atabatupa mu chungu yaa moto ya nguvu, kule kuta kuya kuria na kusaga kumeno. \v 43 Na benye kweli bata angala sawa jua mu ufalme wa Baba yao. Na ule eko na mashikiyo ashikiye.