swc_mat_text_reg/13/36.txt

1 line
437 B
Plaintext

\v 36 Na kisha Yesu kutuma kinkundji ya batu, na arieuda munyumba, ba tumishi bari muchofeya na bari anza kumwambia: «Utwelezeye mufono huji ya magugu ya mu mashamba.» \v 37 Yesu aribajibu : « Ulearipanda mbegu ni mwana wa mutu. \v 38 Na mashamba ni dunia. Na mbegu muzuri ni batoto yo ufalme wa mbingu. Na magugu ni batoto ya shetani. \v 39 Na adui aripanda magugu ni shetani. Na mavino ni mwisho wa dunia. Na bavinaji ni ba malaika.