swc_mat_text_reg/13/31.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 31 Kisha aribambiya mufano ingine na ku sema : « Ufalme wa mbingu umefanana na mbegu ya mutarde (haradali) kama mutu aribeba na kuyipanda mu mashamba yake.» \v 32 Mbego hiye keko kaloko kupita ma mbego yote. Makisha kukomeya kwayo, ilikuya muti munene ndani ya ma shamba. Na mandeke barianza kuya na kuweka bisangala biaba kutu miti kiloko.