swc_mat_text_reg/13/29.txt

1 line
322 B
Plaintext

\v 29 Mwalimu akajibu " Apana, musitoshe magugu Aababu mutaweza kutosha ngano." \v 30 Muache magugu na ngano iko meye pamoja mpaka waka wa mavuno. Na wakati ni ta sema na muvunaji : «Muitoshe kwanja magugu, » muyi weke fazi moja na mu yi funga pamoja ju ya kuichoma, na kisha muchanga ngano pamoja na ku yi weka mu gala.