swc_mat_text_reg/13/24.txt

1 line
323 B
Plaintext

\v 24 Yesu aliwaletea mfano na anasema : « Kwa ni ufalme wa mbingu unafanona na mutu yule alipanda mbegu muzuri katika mashamba yake. \v 25 Na wa kati watu wali lala, na adui yake na ye alikuya kupenda mbegu mubaya na akaenda lwake. \v 26 Wakati mbegu ili kumeya na ili zala matunda yake, majani mu baya ili one kana tena.