swc_mat_text_reg/13/22.txt

1 line
387 B
Plaintext

\v 22 Ingine ilianguka mumiba, ni ule auaisikia sauti lakini mashaka na udanganifu ya dunia na mali ina songewa kwa sauti la Mungu na hayizale tena matunda. \v 23 Na mbegu ingine ilianguka mu bulongo muzuri, nikwa ule auasikiya sauti ya Mungu, kwa uhaki ni ule auazala matunda nzuri. Na auailima te; ingine mara mia moja kupita, ingine makumi sita na ingine makumi tatu ya kuyi tengeuza.