swc_mat_text_reg/13/20.txt

1 line
246 B
Plaintext

\v 20 Na mbegu ile irianguka mu mayibwe, ni ule ana sikiya sauti na kuyipakeya wepesi kwa furaha munene. \v 21 Na pasipo mijiji na kuvumilia kwa wakati kidogo. Kama mateso na kusumbuwa inafika kwa sababu ya sauti la Mungu, na wana jikwala wepesi.