swc_mat_text_reg/13/10.txt

1 line
338 B
Plaintext

\v 10 Banafunzi bana kuja kwa Yesu na ku mwambia: «Kwa nini unasema paka mifano ku kintunju?» \v 11 Na aribajibu na kuwaombiya : « mweye munapewa upendeleo ya ku jwa (siri) uficho ya bu falume wa mbingu. Sabu bo habakuyi pokeya.» \v 12 Kwa ule eko nayo batamu ongezea tena, lakini kwa ule hana nayo, na bata mutosha tena ile eko nayo.