swc_mat_text_reg/13/03.txt

1 line
397 B
Plaintext

\v 3 Kisha Yesu aribambiya maneno mingi mu mifano: «Angariyeni mupandaji ana ende kupanda mbegu.» \v 4 Wakati alianza kupanda mbegu, na yingine ile angukiya kumpembeni ya njia. Kisha ba ndege bakaikula. \v 5 Ingine mu mayibwe na bulongo ilikuya kiloko. Na alichofa tena sababu bulongo iriku ya murefu. \v 6 Na wakati jua ili toka, nabile baripanda birika uka baribichoma sababu mijiji ili kauka.