swc_mat_text_reg/13/01.txt

1 line
215 B
Plaintext

\c 13 \v 1 Kwa ile siku, Yesu alitoka mu nyumba ile arianza kufundisha pebeni ya bahari. \v 2 Batu mingi barimujungu laka na aringia mu mutumburi na anaikala. Na kundji ya batu barikuya baikuya tu ku kavu ya bahari.