swc_mat_text_reg/12/33.txt

1 line
397 B
Plaintext

\v 33 Mukifanya muti nzula na matunda nzuli pîa, na kama mukifanya muti mubaya na matuunda yake vile itakuwa mubaya kwa sababu banajuwaka muti na matunda . \v 34 Kizazi kya nyoka nyi, batu babaya, mwanagani mutasema mambo muzuri kwa sababu kiniwa insema kwa kuyuza kwa roho. \v 35 Mutu mwena anatosha mazuri zanye ziko ndani ya roho yake ; na mutu mubaya anatoshabia mubaya zenye ziko ndani yake.