swc_mat_text_reg/12/24.txt

1 line
311 B
Plaintext

\v 24 Walifalisayo walisikiya kuusu aya muujiza wakasema uyu mutu ana futukuza mapepo kwa nguvu yake mwenyewe Belzebuli, mukubwa wa mapepo. \v 25 Lakini Yesu alijuwa mawazo yabo na akambia " ufalme yote enye inangawanyika peke yake inaomba baiyovunje na kila muji au nyumba enye enagawanyika pekeye houtasimama.