swc_mat_text_reg/12/03.txt

1 line
300 B
Plaintext

\v 3 Yesu a mabambia: "bado hamujiasona enye Daudi alifanya wakati alikuya na njala yeye na batu benye alikuwa nabo? \v 4 Namuna jinsi aliingia ndani ya nyama ya Mungu na kula mekate ya wanyesho, enye, kitu yenye sheria ilimukatalia yeye na watu wenye wa likuwa na ye lakini ilikubaliwa kwa makuhami.