swc_mat_text_reg/12/01.txt

1 line
243 B
Plaintext

\c 12 \v 1 Siku ya sabata Yesu alionda kupitia mashamba. Wanafunzi wake balikuwa na njala na bakaanza kukati masuke na kuya kula. \v 2 Bafarisayo banabaona na bana mwambia Yesu: " wana funzi wako banafanya enye sheria inakataza siku ya sabata.