\c 12 \v 1 Siku ya sabata Yesu alionda kupitia mashamba. Wanafunzi wake balikuwa na njala na bakaanza kukati masuke na kuya kula. \v 2 Bafarisayo banabaona na bana mwambia Yesu: " wana funzi wako banafanya enye sheria inakataza siku ya sabata.