swc_mat_text_reg/11/25.txt

1 line
516 B
Plaintext

\v 25 Ile wakafi ile Yesu akasema. "nakusifu baba mwenye heshima yote mu mbingu na pa dunia, juu uli fuchika hii maneno kwa bale batu benye mawazo murefi na kwa batu ba akari, na ku ionesha wazi kubatu ba shokufunda naku batoto kuloko. \v 26 Ni vile baba njo vile weye ulipenda. \v 27 Ibi bitu byote babayangu ani achia byo chini ya bu ongozaji bwangu. Hakuna ata mutu moya ana mu juwa mutoto muzuri, paka babi tena hakuna mutu awa mu juwa tu baba muzuri, paka to mutoto ye peke na ule mutu mtoto ata anesha ye wazi.