swc_mat_text_reg/11/20.txt

1 line
451 B
Plaintext

\v 20 Kwanza pale Yesu aka anza kufokea ile migini mine ne ile alipitano mi ujiza ya munene ili fanyika juu batu bamu. Ile migini ya minene ile habaku mwamini. Laana kwako korazini ! \v 21 Laana kwako Betesaida kama hii miujiza minene ile ili fanika mutilo ao musidoni kama ile migini ikoako na leo, balitafuka kutubu mu kirizo,ya kupasla ma nguo kurimwangya maivu. \v 22 Siku ya kukata mambo ya mwisho, batashushako roho juu ya migini kupitaa mwenye.