\v 16 Mitafananisha iki kizazi na kitu kani? iko saa batoto bale bekona cheza pa nsoko, kisha banaikala chini , bana anza ku uliza uyu kwa uyu aseme . \v 17 Tu libapikia aba ba mindule, batu hamu cheze. Tuna baimbia nyimbo yakilio, na mweye hamulie.