swc_mat_text_reg/11/13.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 13 Juu ba nabii bote nayenye sheria, bile balitabiri na ishiya peko yaono. \v 14 Na kama muna mwichika ye njo eliya, ule bali semaka atarudiya . \v 15 ule wa masikiyo ile ina isikiyaka, asikiye.