swc_mat_text_reg/11/04.txt

1 line
347 B
Plaintext

\v 4 Yesu akajibu asema " mwene na mupatie habariya mambo ile munaona ile munasikia . \v 5 Bipofu bana anza kouna , ba bilema binatembeya, bama bukoma papona, bale basikiyo ya kufwa baoba bana anza kusikiya , bafu banafuka, na habari njema iko ina hubiriwa ku batu bama itaji. \v 6 Waheri ni ule mutu asipate ki kwazo kya ku mwangusha kupita miye.